Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Asubuhi na Qur'an, katika vipengele vya kuhifadhi, Tajweed, mtiririko mzuri wa damu, kusoma kwa Sauti nzuri, ni zoezi la kila Siku Asubuhi linaloendelea katika Hawzat ya Masista (Mabanati) ya Hazrat Zainab (sa) iliyopo maeneo ya Kigamboni - Dar-es-salaam - Tanzania chini ya Jamiatul Mustafa (s) International Foundation.

26 Aprili 2025 - 23:14

Asubuhi ya Qur'an, Hifdhi na Taj'wid katika Hawzat ya Mabanati ya Hazrat Zainab (s) - Kigamboni, Dar-es-salaam

Hawzat Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni, Dar-es-salaam

Asubuhi ya Qur'an, Hifdhi na Taj'wid katika Hawzat ya Mabanati ya Hazrat Zainab (s) - Kigamboni, Dar-es-salaam

Your Comment

You are replying to: .
captcha