Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Asubuhi na Qur'an, katika vipengele vya kuhifadhi, Tajweed, mtiririko mzuri wa damu, kusoma kwa Sauti nzuri, ni zoezi la kila Siku Asubuhi linaloendelea katika Hawzat ya Masista (Mabanati) ya Hazrat Zainab (sa) iliyopo maeneo ya Kigamboni - Dar-es-salaam - Tanzania chini ya Jamiatul Mustafa (s) International Foundation.
26 Aprili 2025 - 23:14
News ID: 1552611
Hawzat Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni, Dar-es-salaam
Your Comment